Hapa ni katika viwanja vya C D T mjini KAHAMA ambapo kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo Zitto Kabowe amefanya mkutano wa hadhara uliohudhuriwa na maelfu ya wakazi wa kahama licha ya vulugu ambazo zilianza kutokea lengo likiwa ni kuto kunadi sera za chama hicho
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni